Saturday, November 11, 2017

Muhimu: Update app ya ajira.go.tz.App

Tags
Habari ndugu mtumiaji wa app ya Ajira.go.tz.App. Tumeiboresha app hii hivyo hakikisha app unayotumia ina picha hii
Kama app yako uliweka kwenye simu muda mrefu na picha inayoonesha si kama hii basi pakua app mya dakika mbili tu bonyeza hapa kudownload Au link hii https://goo.gl/sG93Zv

Ukishaiweka hii toa ile ya zamani ili usipate notification mara mbili mbili. Ukiweka app hii mpya utafaidika na vitu vifuatavyo. 1. Inafunguka kwa urahisi zaidi kuliko ile ya zamni. 2. taarifa za nafasi za kazi nyingi zaidi kuliko ile ya mwanzo. 3. Ina mwonekano mzuri zaidi. Weka app hii mpya hakikisha app yako unayotumia kwenye simu inaonesha picha hapo juu
Asante kwa kuendelea kutumia app ya ajira.go.tz.app. Tunakutakia mafanikio mema katika utafutaji kazi

Wednesday, November 1, 2017

Muhimu soma kuhusu app ya ajira.go.tz.App

Tags
Asante kwa kuendelea kutumia app ya ajira.go.tz.app. Kama uliweka app hii kuanzia mwezi wa tisa kurudi nyuma unatakiwa kuiweka upya yaani update ili upate huduma nzuri zaidi Bonyeza link hii https://goo.gl/GXAUG7

Itadownload Kisha Utabonyeza install ili kuiweka kwenye simu yako. Endelea kutumia ajira.go.tz.app ili upate kazi kwa haraka zaidi.

Secretariat ya ajira yatoa tangazo muhimu lisome muda huu

Waombaji kazi watakiwa kuthibitisha nyaraka zao na kuzihuisha kwenye mfumo wa Ajira. utumishi Waombaji wa fursa za ajira kupitia Sekre...